Siku ya ardhi hukumbusha uamuzi wa kidhalimu uliochukuliwa na utawala wa Kizayuni tarehe 30 Machi 1976 kuhusiana na kuzipora na kuzihodhi ardhi za Wapalestina.
Mnamo Mei 14 mwaka 2018, sambamba na kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu (Jerusalem) idadi kubwa ya Wapalelestina waliokuwa wakiandamana kulalamikia hatua hiyo waliuawa shahidi na kujeruhiwa.