Makumbusho hayo yameandaliwa na Taasisi ya al-Kauthar ya hukohuko Uholanzi. Miaka 31 iliyopita Sayyid Muhammad Baqir Swadr akiwa pamoja na dada yake waliuawa shahidi kinyama tarehe 8 Aprili mwaka 1980 huko Iraq na askari katili wa utawala wa kidikteta wa Saddam Hussein uliong'olewa madarakani hivi karibuni. Maadhimisho hayo yamepangwa kufanyika hapo kesho Ijumaa. 769815