Waislamu katika nchi za Saudi Arabia, Kuwait, Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu, Qatar, Jordan, Sudan, Lebanon, Yemen, Libya, Syria na Palestina leo wanasherehekea Idil-Fitri.
Sikukuu hiyo inasherehekewa leo pia katika nchi za Uturuki, Malaysia, Uzbekistan, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tadjikistan na nchi kadhaa za Ulaya na Marekani.
Hapa nchini Iran na katika nchi nyengine kadhaa ikiwemo Oman na Indonesia Idil-Fitri itaadhimishwa kesho Jumatano.
shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa IQNA linawatakia Waislamu kote duniani sikukuu njema na Idil Fitri.
851187