Abou Diaby anasikika akisoma aya za 11 hadi 14 za Sura Taha kwa kuzingatia kanuni za usomaji Qur'ani.
Inaaminika kuwa klipu hiyo ya video inahusiana na msimu wa Hija wa mwaka 1438 Hijria Qamaria katika moja ya maheama ya eneo la Mina.
Abou Diaby alipata umaarufu kama mchezaji wa Ligi ya Premier ya England
ambaye alikuwa amehifadhi Juzuu 19 za Qur'ani Tukufu. Tizama kilipu ya video hapo chini.