iqna

IQNA

ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesikitishwa sana kuhusu kuakhrishwa mkutano wa mazungumzo ya amani Yemen.
Habari ID: 3308524    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza kabisa tokea yalipoanza mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen amesikika akitoa kauli ya kutaka mashambulio hayo ya kijeshi yakomeshwe mara moja.
Habari ID: 3159650    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/17

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amejiunga na taifa la Iran katika kuadhimisha siku kuu ya Nowruz ya kuwadia mwaka mpya wa Hijria Shamsia.
Habari ID: 3015830    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameeleza katika taarifa yake kuwa Waislamu watatu waliouawa hivi karibuni mjini Chapel Hill nchini Marekani walikuwa wakishiriki kwenye shughuli za utoaji misaada ya kibinadamu na ni wawakilishi wa thamani bora za uraia wa ulimwengu mzima.
Habari ID: 2851644    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/15