Mehdi Gholamnejad alisoma Tafsiri za Aya za 20 hadi 26 za Sura Al Maidah katika kisomo cha 14 kwa mfululizo wa Kusoma na Kusikiza.
Habari ID: 3477591 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/13
Mtume Muhammad SAW amesema: Waislamu wote ni ndugu na hakuna aliye bora zaidi ya mwingine ila katika Taqwa (Ucha Mungu). Kanz al-Ummal, Jildi 1, Uk 149. Nahjul Fasaha 3112
Habari ID: 3472209 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/11
Mtume Muhammad SAW anasema: “Pambeni idi zenu kwa (kutamka) Allahu Akbar. (Kanz al Ummal: Hadithi 24094)
Habari ID: 3471984 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/04
Hongera kwa munasaba wa kuanza mwezi wa Rabiul Awwal, machipuo ya uhai
Habari ID: 3470707 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/01
Katika siku ya tano ya ‘Wiki ya Qur’ani kwa Himaya ya Iran’ , hafidh na qarii wa Qur’ani kutoka Iran wamesomba mbele ya mjumuiko wa mabalozi wa nchi za Kiislamu huko nchini Uganda.
Habari ID: 1433643 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/26