iqna

IQNA

miti
Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepanda mzeituni katika hatua ambayo ameitaja kuwa ni mshikamano na wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
Habari ID: 3478453    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Wiki ya Maliasili na Siku ya Kupanda Miti nchini Iran
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitia kuwa, harakati za mazingira ni harakati za kidini na kimapinduzi huku akitahadharisha kuhusu uharibifu wa misitu na maliasili.
Habari ID: 3473706    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/05

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa utunzaji misitu na kusema umuhimu wa kupanda miti ni jambo ambalo linapaswa kuhimizwa ili liwe utamaduni wa umma.
Habari ID: 3471866    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi amepanda miche miwili ya miti ya matunda katika maadhimisho ya Wiki ya Rasilimali za Maliasili nchini Iran.
Habari ID: 3470885    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/09