iqna

IQNA

pakistan
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistani Imran Khan alisema nchi yake daima itabaki kuwa ngome ya Uislamu na mtetezi wa haki na maslahi ya Waislamu duniani kote.
Habari ID: 3475061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 57 wameuawa shahidi leo wakati wa Sala ya Ijumaa katika shambulizi la kigaidi lililofanyika ndani ya msikiti mmoja ulioko katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.
Habari ID: 3475004    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa, hususan Umoja wa Mataifa na mashirika husika ya kimataifa ya haki za binadamu, kuiwajibisha India kutokana na kukithiri ukiukaji wake wa haki za binadamu dhidi ya walio wachache, hasa Waislamu.
Habari ID: 3474971    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amempongeza mwenzake wa Canada kutokana na hatua yake ya kulaani chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia huku akitaka kuwepo jitihada maalumu za kukabiliana na tatizo hilo.
Habari ID: 3474868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Tanzim Islami (TI) ya Pakistan amelaani vikali hatua ya Ufaransa kufunga msikiti katika mji wa Cannes nchini humo.
Habari ID: 3474809    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/15

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano wa Waislamu ndiyo silaha pekee inayoweza kutumiwa kwa ajili ya kupambana na njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474733    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

Waziri wa Teknolojia Pakistan
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Sayansi na Teknolojia Pakistan amesema soko la sekta halali duniani linastawi kwa kasi na yamkini pato lake likafika matrilioni ya dola katika mustakabli wa karibu.
Habari ID: 3474721    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/25

TEHRAN (IQNA) Jumapilia 19 Disemba, mji mkuu wa Pakistan, Islamabad utakuwa mwenyeji wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ambapo jenda kuu na pekee ya mkutano huo ni kuchunguza matukio ya Afghanistan hususan hali ya kibinadamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474692    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/18

TEHRAN (IQNA)- Katika mitandao ya kijamii kumesambaa kilpu ya Qarii Abdullah Khaled wa Pakistan akiwa anasoma aya za Surah Ibrahim.
Habari ID: 3474610    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28

Kikao cha Tehran
TEHRAN (IQNA)-Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi JIrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474482    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/28

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema, kuna udharura wa kukabiliana na uenezaji chuki dhidi ya Uislamu kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3474341    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Madaktari wa Kiislamu Pakistan (PIMA) inapanga kuandaa warsha za kuokoa maisha kwa wananchi katika misikiti kote Pakistan.
Habari ID: 3474339    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Tajikistan, Dushanbe, ambako anashiriki mkutano wa wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) unaofanyika nchini humo leo na kesho.
Habari ID: 3474303    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Pakistan kimeandaa mashindano ya Qur'ani katika mji wa Peshawar kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473859    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran na Pakistan zinasisitiza kuhusu kushirikiana katika kupambana na ugaidi, chuki dhidi ya Uislamu na kudumisha usalama wa mpaka baina ya nchi mbili.
Habari ID: 3473838    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA) –Pakistan imetangaza maelekezo ya kufuatwa na Waislamu misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea corona au COVID-19.
Habari ID: 3473782    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04

TEHRAN (IQNA) Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473474    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20

TEHRAN (IQNA) –Mahakama Kuu ya Lahore, Pakistan imeamuru kuwa ni wajibu kwa taasisi zote za kielimu kuweka mafundisho ya Qur'ani katika mitaala yao kuanzia mwaka 2021.
Habari ID: 3473470    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/19

TEHRAN (IQNA) – Pakistan imetoa wito kwa serikali ya India ilinde haki za jamii za waliowachache hasa Waislamu na ihakikishe kuwa wanapata usalama na uhuru wa kuabudu.
Habari ID: 3473432    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

TEHRAN (IQNA)- Watu saba wameuawa wakiwa katika darsa ya Qur’ani Tukufu katika hujuma iliyotekelezwa mjini Peshawar, kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3473301    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27