iqna

IQNA

nimr
TEHRAN (IQNA) - Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

Waislamu katika eneo la Qatif Saudi Arabia Ijumaa hii wametoa wito wa kusitishwa hukumu ya kunyongwa mwanazuoni maarufu wa Kiislamu katika eneo hilo Sheikh Nimr Baqir An Nimr.
Habari ID: 3460127    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/06

Waandamanaji wamejitokezwa kwa wingi nchini Saudi Arabia katika Mkoa wa Mashariki kubainisha hasira zao kufuatia uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama ya juu ya nchini humo iliyotoa hukumu ya kifo dhidi ya mwanazuoni maarufu wa Kishia Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3447680    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/13

Wanaharakati wameandamana tena nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London kupinga hukumu ya kifo iliyotolewa na mahakama kuu dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Nimr Baqir An-Nimr.
Habari ID: 3415411    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/30

Umoja wa Mataifa umetakiwa kuingilia kati na kuuzuia utawala wa Saudi Arabia kutekeleza hukumu ya kifo dhidi ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3395089    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/27

Kampeni ya kimataifa imeanzishwa kwa lengo la kuushinikikza utawala wa Saudi Arabia kumuachilia huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338914    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana katika nchi 20 duniani wakitaka Saudi Arabia imuachilie huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338080    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02

Utawala dhalimu wa Saudi Arabia unapanga kutekeleza hukumu ya kumnyongoa mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini humo Sheikh Nimr Baqir an-Nimr.
Habari ID: 3284313    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/11

Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Mfalme Abdullah bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ya kumtaka azuie kutekelezwa hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa dhidi ya mwanazuoni wa Kishia wa nchi hiyo Sheikh Nimr Baqir an-Nimr.
Habari ID: 1463760    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/26

Katika sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameionya Saudia Arabia kuhusiana na hukumu ya kifo dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Kishia nchini humo Ayatullah Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 1463465    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25