iqna

IQNA

hukumu
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati mwingine, watu wanapokosea au kufanya jambo baya, hujaribu kukana kosa au kukimbia kuwajibika, lakini itakuja siku ambayo hakuna mtu anayeweza kukataa kuwa amefanya alichofanya au kuepuka uwajibikaji.
Habari ID: 3475706    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30

Waandamanaji wamejitokezwa kwa wingi nchini Saudi Arabia katika Mkoa wa Mashariki kubainisha hasira zao kufuatia uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama ya juu ya nchini humo iliyotoa hukumu ya kifo dhidi ya mwanazuoni maarufu wa Kishia Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3447680    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/13

Kampeni ya kimataifa imeanzishwa kwa lengo la kuushinikikza utawala wa Saudi Arabia kumuachilia huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338914    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana katika nchi 20 duniani wakitaka Saudi Arabia imuachilie huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338080    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02

Katika sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameionya Saudia Arabia kuhusiana na hukumu ya kifo dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Kishia nchini humo Ayatullah Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 1463465    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25